Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi Yakobo akararua nguo zake za kujitanda, akavaa nguo za magunia viunoni mwake, akamwombolezea mwana wake siku nyingi.+

  • 1 Wafalme 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+

  • 2 Wafalme 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikawa kwamba mara mfalme alipoyasikia maneno ya mwanamke yule, mara moja akayararua+ mavazi yake; na kwa vile alikuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona, na, tazama! ndani alikuwa amevaa nguo za magunia juu ya mwili wake.

  • Esta 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Mordekai+ akapata kujua mambo yote yaliyokuwa yamefanywa;+ ndipo Mordekai akararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia+ na majivu,+ akaenda katikati ya jiji, akalia kwa sauti kubwa na yenye uchungu.+

  • Zaburi 35:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+

      Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+

      Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+

  • Isaya 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, atataka katika siku hiyo kuwe kilio+ na maombolezo na upara na kuvaa nguo za magunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki