Ezekieli 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, ugua kwa viuno vyenye kutikisika.+ Unapaswa kuugua kwa uchungu mbele ya macho yao.+ Mika 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.
6 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, ugua kwa viuno vyenye kutikisika.+ Unapaswa kuugua kwa uchungu mbele ya macho yao.+
8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.