4 Ndiyo sababu nimesema: “Msinitazame. Nitaonyesha uchungu katika kulia.+ Ninyi msisisitize juu ya kunifariji kwa sababu ya kuporwa kwa binti ya watu wangu.+
19 Ee matumbo yangu, matumbo yangu! Nina maumivu makali katika kuta za moyo wangu.+ Moyo wangu umechafuka ndani yangu.+ Siwezi kunyamaza kimya, kwa maana nafsi yangu imesikia sauti ya baragumu, king’ora cha vita.+
8 Na ikawa kwamba, walipokuwa wakipiga nami nikiwa nimeachwa, nikaanguka kifudifudi,+ nikapaaza kilio, na kusema: “Ole+ wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, unawaharibu mabaki wote wa Israeli huku ukimwaga ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”+