19 Ee matumbo yangu, matumbo yangu! Nina maumivu makali katika kuta za moyo wangu.+ Moyo wangu umechafuka ndani yangu.+ Siwezi kunyamaza kimya, kwa maana nafsi yangu imesikia sauti ya baragumu, king’ora cha vita.+
26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
9Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+