Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tazama! Mashujaa wao wenyewe wamepaaza kilio barabarani; wajumbe wa amani+ watalia kwa uchungu.

  • Yeremia 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee matumbo yangu, matumbo yangu! Nina maumivu makali katika kuta za moyo wangu.+ Moyo wangu umechafuka ndani yangu.+ Siwezi kunyamaza kimya, kwa maana nafsi yangu imesikia sauti ya baragumu, king’ora cha vita.+

  • Yeremia 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+

  • Yeremia 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+

  • Mika 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki