Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na katika wilaya zote mbalimbali za utawala,+ kokote ambako neno la mfalme na sheria yake ilikuwa ikifika, kulitokea maombolezo+ makubwa kati ya Wayahudi, na kufunga,+ na kulia, na kuomboleza. Na wengi wakatandika nguo za magunia+ na majivu+ kuwa vitanda vyao.

  • Yeremia 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Pigeni mayowe, ninyi wachungaji, na mpaaze kilio!+ Na mgaegae,+ ninyi watu mashuhuri wa kundi,+ kwa sababu siku za kuchinjwa kwenu na za kutawanywa kwenu zimetimia,+ nanyi mtaanguka kama chombo kinachotamanika!+

  • Ezekieli 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao hakika watajiacha wasikiwe juu yako kwa sauti yao nao watapaaza kilio kwa uchungu.+ Nao watatia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Watagaagaa katika majivu.+

  • Mika 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Msiseme hili katika Gathi; msilie hata kidogo.+

      “Katika nyumba ya Afra gaagaa mavumbini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki