16 “Basi Yehova aliye Yehova Mungu wa majeshi amesema hivi, ‘Kutakuwako maombolezo katika viwanja vyote vya watu wote,+ na katika barabara zote watu watakuwa wakisema: “Ah! Ah!” Nao watamwita mkulima aje kuomboleza,+ na kuwaita wale wenye uzoefu wa maombolezo waje kulia.’+
12 Alipokaribia lango la jiji, kumbe! tazama! kulikuwa na mfu+ akiwa anapelekwa nje, mwana mzaliwa-pekee+ wa mama yake. Mbali na hilo, alikuwa ni mjane. Pia umati mkubwa kutoka jijini ulikuwa pamoja naye.