Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavu

      yake.+

      Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+

      Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+

  • Maombolezo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+

      Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.

      Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

  • Amosi 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Basi Yehova aliye Yehova Mungu wa majeshi amesema hivi, ‘Kutakuwako maombolezo katika viwanja vyote vya watu wote,+ na katika barabara zote watu watakuwa wakisema: “Ah! Ah!” Nao watamwita mkulima aje kuomboleza,+ na kuwaita wale wenye uzoefu wa maombolezo waje kulia.’+

  • Luka 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alipokaribia lango la jiji, kumbe! tazama! kulikuwa na mfu+ akiwa anapelekwa nje, mwana mzaliwa-pekee+ wa mama yake. Mbali na hilo, alikuwa ni mjane. Pia umati mkubwa kutoka jijini ulikuwa pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki