1 Wafalme 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo mwana wa yule mwanamke, bimkubwa wa ile nyumba, akawa mgonjwa, na ugonjwa wake ukawa mkali sana hivi kwamba hapakuwa na pumzi iliyobaki ndani yake.+ Luka 8:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 kwa sababu alikuwa na binti mzaliwa-pekee mwenye umri wa miaka karibu kumi na miwili na alikuwa anakufa.+ Alipokuwa akienda umati ukamsonga.+
17 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo mwana wa yule mwanamke, bimkubwa wa ile nyumba, akawa mgonjwa, na ugonjwa wake ukawa mkali sana hivi kwamba hapakuwa na pumzi iliyobaki ndani yake.+
42 kwa sababu alikuwa na binti mzaliwa-pekee mwenye umri wa miaka karibu kumi na miwili na alikuwa anakufa.+ Alipokuwa akienda umati ukamsonga.+