Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+

  • 2 Wafalme 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi akamchukua, akampeleka kwa mama yake. Naye akaendelea kukaa juu ya magoti yake mpaka katikati ya mchana, na mwishowe akafa.+

  • Ayubu 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akikaza moyo wake juu ya mtu yeyote,

      Akijikusanyia kwake roho na pumzi ya mtu huyo,+

  • Mhubiri 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nilirudi, nikaona chini ya jua kwamba si wenye mbio wanaoshinda katika mbio,+ wala wenye nguvu wanaoshinda katika pigano,+ wala pia wenye hekima wanaopata chakula,+ wala pia wenye uelewaji wanaokuwa na utajiri,+ wala wenye ujuzi wanaopata kibali;+ kwa sababu wakati na tukio lisilotazamiwa huwapata wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki