Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yakobo hakumruhusu Benyamini,+ ndugu ya Yosefu, aende pamoja na wale ndugu zake wengine, kwa sababu alisema: “Ili tukio lenye kufisha lisimpate.”+

  • 1 Samweli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nanyi mnapaswa kutazama: likipanda barabara inayoelekea kwenye eneo lake, kuelekea Beth-shemeshi,+ basi yeye ndiye ametutendea huu uovu mkubwa; lakini kama sivyo, tutajua kwamba haukuwa mkono wake uliotugusa; bali ni msiba+ tu uliotuangukia.”

  • 1 Wafalme 22:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari+ wake: “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki