1 Samweli 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 huku mkilitazama: Ikiwa litapanda kwenye barabara inayoelekea Beth-shemeshi,+ kwenye eneo lake, basi yeye ndiye ametutendea uovu huu mkubwa. Lakini lisipopanda huko, tutajua kwamba si mkono wake uliotuadhibu; ni msiba wa kawaida tu uliotupata.”
9 huku mkilitazama: Ikiwa litapanda kwenye barabara inayoelekea Beth-shemeshi,+ kwenye eneo lake, basi yeye ndiye ametutendea uovu huu mkubwa. Lakini lisipopanda huko, tutajua kwamba si mkono wake uliotuadhibu; ni msiba wa kawaida tu uliotupata.”