Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha ukazunguka kutoka Baala kuelekea upande wa magharibi hadi Mlima Seiri, ukaendelea hadi kwenye mteremko wa Mlima Yearimu upande wa kaskazini, yaani, Kesaloni, nao ukashuka hadi Beth-shemeshi+ na kuendelea hadi Timna.+

  • Yoshua 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu*+ na pwani yake. Hiyo ndiyo iliyokuwa mipaka yote ya wazao wa Yuda kulingana na koo zao.

  • Yoshua 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+

  • Yoshua 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Aini+ na malisho yake, Yuta+ na malisho yake, na Beth-shemeshi na malisho yake—majiji tisa katika maeneo ya makabila hayo mawili.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wafilisti+ walivamia pia majiji ya Shefela+ na Negebu nchini Yuda na kuteka Beth-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederothi, Soko na miji yake, Timna+ na miji yake, na Gimzo na miji yake; nao wakaanza kuishi humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki