Yoshua 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+ Yoshua 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani+—majiji manne na vijiji vyake;
19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+