38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+
20 Basi tukamwambia bwana wangu, ‘Tuna baba aliye mzee na mtoto wa uzee wake, aliye mdogo zaidi.+ Lakini ndugu yake amekufa hivi kwamba yeye tu ndiye aliyesalia wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’