7 Kisha wakasema: “Mtu huyo aliuliza moja kwa moja kutuhusu na kuhusu jamaa zetu, akisema, ‘Je, baba yenu angali hai?+ Je, mna ndugu mwingine?’ nasi tukamwambia kupatana na mambo hayo.+ Tungewezaje kujua kwamba kwa hakika atasema, ‘Shukeni na ndugu yenu’?”+