Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+

  • Mwanzo 42:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+

  • Mwanzo 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha wakasema: “Mtu huyo aliuliza moja kwa moja kutuhusu na kuhusu jamaa zetu, akisema, ‘Je, baba yenu angali hai?+ Je, mna ndugu mwingine?’ nasi tukamwambia kupatana na mambo hayo.+ Tungewezaje kujua kwamba kwa hakika atasema, ‘Shukeni na ndugu yenu’?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki