Mwanzo 44:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Bwana wangu tukakuambia, ‘Tuna baba aliyezeeka na mtoto aliyemzaa uzeeni, yule mdogo.+ Lakini ndugu yake alikufa,+ kwa hiyo ndiye mwana pekee aliyebaki wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 44:20 Mnara wa Mlinzi,5/1/2015, uku. 14
20 Bwana wangu tukakuambia, ‘Tuna baba aliyezeeka na mtoto aliyemzaa uzeeni, yule mdogo.+ Lakini ndugu yake alikufa,+ kwa hiyo ndiye mwana pekee aliyebaki wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’