13 Ndipo wakamwambia: “Sisi watumishi wako, ni ndugu 12.+ Sisi ni wana wa mtu mmoja+ anayeishi nchini Kanaani, na ndugu yetu mdogo amebaki na baba yetu,+ lakini mwingine hayupo tena.”+
7 Wakamjibu: “Mtu huyo alituuliza hivi moja kwa moja kutuhusu sisi na watu wetu wa ukoo: ‘Je, baba yenu angali hai? Je, mna ndugu mwingine?’ nasi tukamwambia ukweli.+ Tungejuaje atasema, ‘Mleteni ndugu yenu huku chini’?”+