Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Mwanzo 37:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akalichunguza na kusema: “Ni vazi la mwanangu! Mnyama-mwitu mkali amemrarua!+ Hakika Yosefu ameraruliwa vipande-vipande!”+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
33 Naye akalichunguza na kusema: “Ni vazi la mwanangu! Mnyama-mwitu mkali amemrarua!+ Hakika Yosefu ameraruliwa vipande-vipande!”+