17 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo mwana wa yule mwanamke, bimkubwa wa ile nyumba, akawa mgonjwa, na ugonjwa wake ukawa mkali sana hivi kwamba hapakuwa na pumzi iliyobaki ndani yake.+
12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+