Ayubu 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+ Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+
4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+