Mathayo 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+ Marko 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akamsihi mara nyingi, akisema: “Binti yangu mdogo yuko katika hali mbaya sana. Njoo tafadhali uweke mikono+ yako juu yake ili apone na kuishi.”+
18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+
23 akamsihi mara nyingi, akisema: “Binti yangu mdogo yuko katika hali mbaya sana. Njoo tafadhali uweke mikono+ yako juu yake ili apone na kuishi.”+