Luka 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini jua lilipokuwa likitua, wale wote waliokuwa na watu wanaougua magonjwa mbalimbali wakawaleta kwake. Akawa akiwaponya kwa kuweka mikono yake juu ya kila mmoja wao.+ Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
40 Lakini jua lilipokuwa likitua, wale wote waliokuwa na watu wanaougua magonjwa mbalimbali wakawaleta kwake. Akawa akiwaponya kwa kuweka mikono yake juu ya kila mmoja wao.+
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+