Yoshua 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha wakaenda kwa Yoshua kambini katika Gilgali+ na kumwambia yeye na watu wa Israeli hivi: “Sisi tumetoka nchi ya mbali. Basi sasa fanyeni agano+ pamoja nasi.” Luka 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+
6 Kisha wakaenda kwa Yoshua kambini katika Gilgali+ na kumwambia yeye na watu wa Israeli hivi: “Sisi tumetoka nchi ya mbali. Basi sasa fanyeni agano+ pamoja nasi.”
32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+