8 Machoni pangu wajane wao wamekuwa wengi sana kuliko chembe za mchanga wa bahari. Nitamleta mporaji juu ya mama, juu ya kijana, katikati ya mchana.+ Nitaangusha ghafula juu yao wasiwasi na masumbufu.+
8 Na mporaji atakuja juu ya kila jiji,+ na hakutakuwa na jiji lolote linaloweza kuponyoka.+ Na nchi tambarare ya chini hakika itaangamia na nchi tambarare itaharibiwa, jambo ambalo Yehova amesema.