5 Moyo wangu unamlilia Moabu mwenyewe.+ Wakimbizi wa huko wamefika mbali mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwa maana kwenye mpando wa Luhithi+—kila mmoja anaupanda akilia; kwa maana katika njia ya kwenda Horonaimu+ wanapaaza kilio kuhusu ule msiba.
3 Ndiyo sababu viuno vyangu vimejaa maumivu makali.+ Utungu umenishika, kama utungu wa mwanamke anayezaa.+ Nimevurugika hivi kwamba sisikii; nimeingiwa na wasiwasi hivi kwamba sioni.