Isaya 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:5 ip-1 193 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:5 Unabii wa Isaya 1, uku. 193
5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+