10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.”
13 Na ikawa kwamba mara tu nilipotoa unabii Pelatia mwana wa Benaya mwenyewe akafa,+ nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa+ na kusema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Je, utaangamiza mabaki ya Israeli?”+