Ezekieli 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara tu nilipotabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafa, nami nikaanguka chini kifudifudi na kulia kwa sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wanaobaki?”+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:13 w97 5/1 8 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:13 Mnara wa Mlinzi,5/1/1997, kur. 8-9
13 Mara tu nilipotabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafa, nami nikaanguka chini kifudifudi na kulia kwa sauti: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, utawaangamiza Waisraeli wanaobaki?”+