Ezekieli 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na ikawa kwamba mara tu nilipotoa unabii Pelatia mwana wa Benaya mwenyewe akafa,+ nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa+ na kusema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Je, utaangamiza mabaki ya Israeli?”+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:13 w97 5/1 8 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:13 Mnara wa Mlinzi,5/1/1997, kur. 8-9
13 Na ikawa kwamba mara tu nilipotoa unabii Pelatia mwana wa Benaya mwenyewe akafa,+ nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa+ na kusema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Je, utaangamiza mabaki ya Israeli?”+