Methali 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hiyo ndiyo sababu msiba wake utakuja ghafula;+ atavunjwa ghafula, wala hatapona.+ Matendo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Aliposikia maneno hayo Anania akaanguka chini akakata pumzi.+ Na wote waliosikia juu ya hilo wakaogopa+ sana.
5 Aliposikia maneno hayo Anania akaanguka chini akakata pumzi.+ Na wote waliosikia juu ya hilo wakaogopa+ sana.