Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+

      Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+

  • Methali 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 jambo mnalohofu litakapokuja kama dhoruba, na taabu yenu wenyewe itakapofika kama upepo wa dhoruba,+ na shida na nyakati ngumu zitakapowapata.+

  • Isaya 30:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo kosa hili litakuwa kwenu kama sehemu iliyovunjika ambayo inakaribia kuanguka, uvimbe katika ukuta ulioinuliwa juu sana,+ ambao kubomoka kwake kunaweza kuja kwa ghafula, mara moja.+

  • 1 Wathesalonike 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki