13 kwa hiyo kosa hili litakuwa kwenu kama sehemu iliyovunjika ambayo inakaribia kuanguka, uvimbe katika ukuta ulioinuliwa juu sana,+ ambao kubomoka kwake kunaweza kuja kwa ghafula, mara moja.+
3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+