Mathayo 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena. Luka 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ole wao wanawake wenye mimba na wale wanaonyonyesha mtoto mchanga katika siku hizo!+ Kwa maana kutakuwa na uhitaji mkubwa juu ya nchi na ghadhabu juu ya watu hawa; Waroma 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 dhiki na taabu, juu ya nafsi ya kila mtu anayefanya mabaya, ya Myahudi+ kwanza na pia ya Mgiriki;+
21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena.
23 Ole wao wanawake wenye mimba na wale wanaonyonyesha mtoto mchanga katika siku hizo!+ Kwa maana kutakuwa na uhitaji mkubwa juu ya nchi na ghadhabu juu ya watu hawa;