27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+
12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la nchi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia+ la manyoya, na mwezi mzima ukawa kama damu,+