Yoeli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Mathayo 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+ Matendo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 jua+ litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa damu kabla ya kufika kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye fahari.+
31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+
20 jua+ litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa damu kabla ya kufika kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye fahari.+