8 Ndipo Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero: “Kuna kikundi fulani cha watu waliotawanyika+ na kujitenga kati ya vikundi vya watu katika wilaya zote za utawala wako;+ na sheria zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatendi sheria za mfalme,+ na haifai kwa mfalme kuwaachilia.