3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
8 “Tafadhali, likumbuke+ lile neno ulilomwamuru Musa mtumishi wako, ukisema, ‘Ikiwa ninyi hamtakuwa waaminifu, mimi nami nitawatawanya kati ya vikundi vya watu.+
17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+
14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”