Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali.

  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Nehemia 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Tafadhali, likumbuke+ lile neno ulilomwamuru Musa mtumishi wako, ukisema, ‘Ikiwa ninyi hamtakuwa waaminifu, mimi nami nitawatawanya kati ya vikundi vya watu.+

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+

  • Zekaria 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”

  • Yakobo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Yakobo,+ mtumwa+ wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila+ kumi na mawili yaliyotawanyika+ huku na huku:

      Salamu!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki