Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+ Matendo 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 lakini makabila yetu kumi na mawili yanatumaini kufikia utimizo wa ahadi hii kwa kumtolea utumishi mtakatifu kwa juhudi nyingi usiku na mchana.+ Kuhusu tumaini hili ninashtakiwa+ na Wayahudi, Ewe mfalme.
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+
7 lakini makabila yetu kumi na mawili yanatumaini kufikia utimizo wa ahadi hii kwa kumtolea utumishi mtakatifu kwa juhudi nyingi usiku na mchana.+ Kuhusu tumaini hili ninashtakiwa+ na Wayahudi, Ewe mfalme.