8Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+
Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.
1Petro, mtume+ wa Yesu Kristo, kwa wakaaji wa muda+ waliotawanyika huku na huku+ katika Ponto, Galatia, Kapadokia,+ Asia, na Bithinia, kwa wale waliochaguliwa+