Waroma 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Msiwe wavivu katika kazi zenu.+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.+ Wakolosai 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+ 1 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+
24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova+ thawabu inayofaa ya urithi.+ Mtumikieni Bwana, Kristo.+
9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+