2 Wafalme 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mara tu mfalme aliposikia maneno ya mwanamke huyo, akayararua mavazi yake.+ Alipokuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona kwamba alikuwa amevaa nguo za magunia ndani ya nguo zake.
30 Mara tu mfalme aliposikia maneno ya mwanamke huyo, akayararua mavazi yake.+ Alipokuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona kwamba alikuwa amevaa nguo za magunia ndani ya nguo zake.