2 Wafalme 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na ikawa kwamba mara mfalme alipoyasikia maneno ya mwanamke yule, mara moja akayararua+ mavazi yake; na kwa vile alikuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona, na, tazama! ndani alikuwa amevaa nguo za magunia juu ya mwili wake.
30 Na ikawa kwamba mara mfalme alipoyasikia maneno ya mwanamke yule, mara moja akayararua+ mavazi yake; na kwa vile alikuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona, na, tazama! ndani alikuwa amevaa nguo za magunia juu ya mwili wake.