30 Nao hakika watajiacha wasikiwe juu yako kwa sauti yao nao watapaaza kilio kwa uchungu.+ Nao watatia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Watagaagaa katika majivu.+
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+