Isaya 37:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+
37 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+