Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye pia akavua mavazi yake na kutenda, yeye pia, kama nabii mbele ya Samweli, akalala ameanguka chini akiwa uchi mchana huo wote na usiku huo wote.+ Hiyo ndiyo sababu walianza kusema: “Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+

  • Mika 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu hiyo nitaomboleza na kupiga mayowe;+ nitatembea miguu wazi na uchi.+ Nitaomboleza kama mbwa-mwitu, na kuomboleza kama mbuni-jike.

  • Waebrania 11:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Walipigwa kwa mawe,+ walijaribiwa,+ walikatwa vipande-vipande kwa msumeno, walikufa+ kwa kuuawa kwa upanga, walitembea huku na huku wakiwa wamevikwa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevikwa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji,+ katika dhiki,+ wakitendewa vibaya;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki