1 Samweli 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akararua pia mavazi yake, naye pia akatenda kama nabii mbele ya Samweli, akalala huko mchana wote na usiku huo wote akiwa uchi.* Ndiyo sababu wanasema: “Je, Sauli pia ni mmoja wa manabii?”+
24 Akararua pia mavazi yake, naye pia akatenda kama nabii mbele ya Samweli, akalala huko mchana wote na usiku huo wote akiwa uchi.* Ndiyo sababu wanasema: “Je, Sauli pia ni mmoja wa manabii?”+