24 Naye pia akavua mavazi yake na kutenda, yeye pia, kama nabii mbele ya Samweli, akalala ameanguka chini akiwa uchi mchana huo wote na usiku huo wote.+ Hiyo ndiyo sababu walianza kusema: “Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+
54 Na baada ya kuingia eneo lake la nyumbani+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao,+ hivi kwamba wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na kazi hizi zenye nguvu?