Mwanzo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+ 1 Samweli 31:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha wakachukua mifupa yao,+ na kuizika+ chini ya mkwaju+ ulio katika Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wanaume wote mashujaa wakaondoka na kuchukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe, wakazileta mpaka Yabeshi na kuizika mifupa yao chini ya ule mti mkubwa+ katika Yabeshi;+ nao wakafunga+ kwa siku saba.
33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+
13 Kisha wakachukua mifupa yao,+ na kuizika+ chini ya mkwaju+ ulio katika Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.+
12 Basi wanaume wote mashujaa wakaondoka na kuchukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe, wakazileta mpaka Yabeshi na kuizika mifupa yao chini ya ule mti mkubwa+ katika Yabeshi;+ nao wakafunga+ kwa siku saba.