Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 1 Samweli 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Sauli akasikia kwamba Daudi na wale watu waliokuwa pamoja naye wameonekana. Wakati huo Sauli alikuwa ameketi katika Gibea chini ya mkwaju+ ulio katika mahali pa juu akiwa na mkuki+ wake mkononi mwake, na watumishi wake wote walikuwa wamemzunguka.

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wanaume wote mashujaa wakaondoka na kuchukua maiti ya Sauli na maiti za wanawe, wakazileta mpaka Yabeshi na kuizika mifupa yao chini ya ule mti mkubwa+ katika Yabeshi;+ nao wakafunga+ kwa siku saba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki