10 Kisha wakafika kwenye uwanja wa kupuria+ wa Atadi, ulio katika eneo la Yordani,+ na huko wakaomboleza maombolezo makuu sana na kulia sana, naye akafanya desturi za kuomboleza kwa ajili ya baba yake kwa siku saba.+
35 Baadaye watu wote wakaja kumpa Daudi mkate+ wa kufariji siku ileile, lakini Daudi akaapa, akisema: “Mungu na anifanyie hivyo+ na kuzidisha jambo hilo, nikionja mkate au kitu chochote kabla ya jua kutua!”+