Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.

  • 2 Samweli 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakaanza kuomboleza na kulia+ na kufunga+ mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na kwa ajili ya Yonathani mwana wake na kwa ajili ya watu wa Yehova na kwa ajili ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu walikuwa wameanguka kwa upanga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki